Tiba Kamili Ya Madhara Ya PUNYETO!
Tiba Kamili Ya Madhara Ya PUNYETO! Read More »
Seli shina ni jina lingine la SELI MAMA.. Ili uelewe vizuri, jifikirie wewe uliye na trilioni 75-100 za seli lakini umetokana na seli moja tu baada ya mbegu na yai kukutana. Kutoka kwenye hiyo seli moja umepata matrilioni ya seli ambayo yanaunda viungo na mwili wako kwa ujumla. Kila siku seli zinakufa na seli zinazaliwa
Hatimaye! Tiba Ya Milele Ya Kisukari Kwa Seli Sina Read More »
DNA, au vinasaba, ni molekuli yenye umuhimu mkubwa katika viumbehai, ikifanya kama msimamizi wa habari jenetiki ambayo hupitisha taarifa muhimu kwa kizazi kinachofuata. Upimaji wa DNA, ambao ni mchakato wa kutambua, kuchambua, na kuelewa sehemu mbalimbali za molekuli hii, umekuwa msingi wa mapinduzi katika sayansi, tiba, na hata katika maisha ya kila siku. Umuhimu wa
Upimaji wa Vinasaba DNA: Utaratibu na Gharama Zake Tanzania Read More »
Mayai hayana wanga zinazoweza kukupatia shida ya uzito mkubwa na kitambi. Yanafaa Au Kutofaa Ukijua hili..
Naweza Kula Mayai Kupunguza Uzito na Kitambi Milele? Read More »
Salicylic acid ni kiambata muhimu zaidi kwenye aspin. Imetumika kwa mamia ya miaka kwa ajili ya kuzima mioto ‘anti-inflamatory’ na kutuliza maumivu kwa wakati mmoja. Historia inaonesha Hippocrates (tabibu mhenga wa kiyunani aliyeishi Kabla ya Kristo) alitumia salicylic acid kutoka kwenye magome ya mti wa willow kutibu homa na maumivu wakati wa kujifungua. Toka mwaka 1899 huenda hadi leo, asprin
Faida, Madhara na Mbadala wa ASPRIN Kwa Magonjwa ya Moyo Read More »
Punyeto ni kitendo cha kusisimua kiungo cha uzazi kwa kutumia kitu tofauti na kiungo cha uzazi kwa lengo la kujiridhisha hisia za ngono. Ikiwa itafanyika mara kwa mara na ikawa ni tabia kitendo hiki kinaleta madhara kwa wanaume na wanawake. Madhara yake ni pamoja na kukupunguzia uwezo wa kufurahia ngono katika hali ya kawaida. Kwa
Punyeto Inasababisha UGUMBA? Read More »
Nini Maana ya Punyeto? Punyeto ni kitendo cha kujichua/kusisimua kiungo cha uzazi mithili ya kufanya ngono hadi kufika kileleni kwa kutumia kitu/kifaa tofauti na kiungo cha uzazi. Kitendo hiki kina majina mengi tofauti tofauti kulingana na jamii ya watu husika. Baadhi ya majina hayo ni puchu, kupiga puli, kujisugua (hasa kwa wanawake), kujichua, kulipua n.k.
Tiba ya Madhara ya PUNYETO Read More »
Mwezi September 2023 Brother mmoja miaka 32 anaitwa Nasibu Jr alijiunga na program yangu ya PERMANENT WEIGHTLOSS. Akaifanya kwa bidii kwa wiki 5. Kisha jioni moja ananipigia simu kunishukuru. Amekuwa akipambana na uzito mkubwa kwa miaka miwili. Uzito wake uliongezeka hadi kufikia 98kg lengo lake afike 65kg. Katika harakati zake za kutafuta mbinu alikuwa kwenye
Diet ya Nyama ‘KETOGENIC’ Ni Ergolytic? Read More »
Jinsi ya Kupunguza Kalori Bila Kujinyima Chakula Tabibu mmoja aliwahi kusema ‘’Aliyekula hadi akaugua inatakiwa kufunga hadi apone’’. Ukiwa na kitambi au uzito mkubwa ni matokeo ya kulundikana kwa ziada ya chakula katika namna ya mafuta. Kufunga ni salaha nzuri ya kukusaidia kuufanya mwili utumie hifadhi hiyo ya chakula iliyopo mwilini tayari. Unapopambana na kupunguza
Jinsi ya Kupunguza Kalori Bila Kujinyima Chakula Read More »
MAZOEZI Yanayofaa Na MUDA Unaofaa Kufanya Ili Kupunguza UZITO Milele Huu ndio ushauri wa kwanza utausikia kwa kila mtu (ila sio mimi)… ‘Ukitaka kupunguza uzito au kitambi fanya mazoezi’ Hata hivyo mazoezi yanachangia asilimia 15% na matokeo yake ni yanategemea vitu vingi ambavyo nataka nikueleze Usinielewe vibaya.. mazoezi ni muhimu sana sio tu kwa ajili
MAZOEZI Haya Ndio Yanapunguza UZITO Read More »