Permanent Weightloss

Usiyachagulie Mafuta Pakutoka – Acha Asili Ikutengeneze

Njia salama ya kuondoa mafuta ya mwili ni kuyaacha yaondoke kama yalivyokuja.. Ni changamoto sana kupunguza sehemu fulani tu ya mwili na ukajichagulia sehemu zingine zisipungue. Mfano, Kinachofuata ni kufanya mazoezi sana ya tumbo au kushinda na mkanda wa tumbo ila usitegemee utafanikiwa.. Mwili ndio unapangilia jinsi ya kutunza mafuta na jinsi ya kuyachoma.. Kama […]

Usiyachagulie Mafuta Pakutoka – Acha Asili Ikutengeneze Read More »

Lipoma Ni Nini Na Inahusianaje Na Uzito Mkubwa

Lipoma ni nini na inahusianaje na uzito mkubwa? Lipoma ni uvimbe unaotokea kwenye seli za mafuta kwa kawaida unatokea chini ya ngozi. Uvimbe huu huwa sio saratani na huwa hauna maumivu. Aina hii ya uvimbe huwa haileti madhara kwenye afya mtu anaweza kuishi nayo kwa muda Isipokuwa kama uvimbe utakuwa mkubwa sana (kulingana pia na

Lipoma Ni Nini Na Inahusianaje Na Uzito Mkubwa Read More »

Share