Blog

Parachichi ‘Ovacado’ Inanenepesha?

Parachichi kama ilivyo vyakula hai vingine vinaufanya mwili uwe na afya njema kwa ujumla. Matumizi ya chakula hai yanakusaidia kuwa na mwili wako katika ubora zaidi. Ikiwa umedhoofu umekuwa na uzito mdogo sana inakusaidia kukuongezea uzito ufikie uzito unaokustahili. Nimeona kwa wagonjwa kama wagonjwa kisukari waliokuwa wamekonda kwa sababu ya ugonjwa wametumia parachichi miongoni mwa …

Parachichi ‘Ovacado’ Inanenepesha? Read More »

Chakula Hai – Mwongozo wa Tiba Lishe (+Ratiba ya Siku 7)

Mwongozo wa lishe haujawahi kuwa rahisi kama hivi.. Maelfu ya watu wenye magonjwa na malengo mbalimbali ya kiafya wamefuata namna hii rahisi ya kula na matokeo yake ni kama muujiza! Mbali na kutibu mamia ya magonjwa ambayo vinginevyo hayatibiki au yangekughalimu mamilion kutibu, aina hii ya kula itakusaidia kuongeza kasi ya mwili kuchoma mafuta, kuondoa …

Chakula Hai – Mwongozo wa Tiba Lishe (+Ratiba ya Siku 7) Read More »

Vyanzo Vya Maji Ya Kunywa Na Usalama Wake

VYANZO VYA MAJI YA KUNYWA NA USALAMA WAKE Na Umuhimu Wake Katika Kupunguza Uzito Imezoeleka kusikia ushauri kuwa kunywa maji mengi yanasaidia kupunguza uzito. ‘Ni Kweli’.. Kivipi? Ukinywa maji mengi unapunguza kiasi cha soda au energy drink ambacho utakunywa. inatokea ‘automatically’.. hii inakusaidia kukupunguzia mafuta yanayotunzwa Hii ni homoni ambayo inahusika na kuongeza KIU ya …

Vyanzo Vya Maji Ya Kunywa Na Usalama Wake Read More »

Faida Ya Mbegu Ya Parachichi – Jinsi ya Kuandaa na kutumia

FAIDA ZA MBEGU ZA PARACHICHI, MAGONJWA YANAYOTIBIWA NA UNGA WA MBEGU ZA PARACHICHI Limetumika kwa miaka mingi kama tunda na pia kama mboga. Kwa sababu ya wingi wa virutubisho vyake linatumika kutibu maradhi ya shida ya mmeng’enyo wa chakula, moyo na mfumo wa damu, urutubishaji wa nywele na ngozi, na kuboresha afya. Mbegu yake inatumika …

Faida Ya Mbegu Ya Parachichi – Jinsi ya Kuandaa na kutumia Read More »

Tiba Ya Milele Ya Upungufu Wa Nguvu Za Kiume (Hizi Ni Mbinu Za Siri)

Hi.. Leo ni siku ya kuelekezana moja mbili za kuimarisha ndoa zetu. Maana bila unyumba ndoa ipo mashakani.. Sio tu ndio kuwa mashakani inaleta msongo mkubwa wa mawazo inaweza ikapelekea mwanaume kushindwa kufanya kazi zako na stress kuwa kubwa zaidi.. Wengine wanafikia hata kuwa na mawazo ya kujiua kwa sababu ya titizo hilo kwa sababu …

Tiba Ya Milele Ya Upungufu Wa Nguvu Za Kiume (Hizi Ni Mbinu Za Siri) Read More »

Kula Kulingana na Kundi la Damu – Kuna Faida Yoyote?

TULE KULINGANA NA MAKUNDI YA DAMU? Hii nadharia alianzisha na baadhi ya wataalamu wa tiba asili na kuungwa mkono na wataalamu wengine baadaye. Unafahamu mara nyingi wataalamu wa tiba asili hawategemei sana sayansi, wanategemea kile ambacho kina leta majibu na vile mtaalamu atakavyowaza inafaa au kilichozoeleka kuwa kinasaidia. Lakini katika ulimwengu wa sasa tunataka ushahidi …

Kula Kulingana na Kundi la Damu – Kuna Faida Yoyote? Read More »

Permanent Weightloss – Maelezo

PERMANENT WEIGHTLOSS Hii ni program iliyoanzishwa na kuendeshwa na Dr Nature, inayokusaidia kupuguza uzito mkubwa na kitambi kiafya milele (kwa namna ambayo ni endelevu) FAIDA ZAKE INAFANYIKAJE? Kuna mambo 5 unatakiwa kuyafahamu: Hapa unajifunza jinsi ya kuchagua, kuandaa na kupangilia chakula kinachotokana na mimea kwa uasili wake. Utakula wingi wa matunda, mbogamboga, nafaka nzima, njugu …

Permanent Weightloss – Maelezo Read More »

Usiyachagulie Mafuta Pakutoka – Acha Asili Ikutengeneze

Njia salama ya kuondoa mafuta ya mwili ni kuyaacha yaondoke kama yalivyokuja.. Ni changamoto sana kupunguza sehemu fulani tu ya mwili na ukajichagulia sehemu zingine zisipungue. Mfano, Kinachofuata ni kufanya mazoezi sana ya tumbo au kushinda na mkanda wa tumbo ila usitegemee utafanikiwa.. Mwili ndio unapangilia jinsi ya kutunza mafuta na jinsi ya kuyachoma.. Kama …

Usiyachagulie Mafuta Pakutoka – Acha Asili Ikutengeneze Read More »

Share
Scroll to Top